HUSSEI MACHOZI Afumaniwa Akizini Na mke Wa Mwanasiasa Nguli KENYA
Lundo la Vyombo vya habari nchini Kenya Vimekariria vikiandiaka habari juu Ya Hussein Machozi mtanzania aliyekua akifanya vizuri chini ya Tetemesha records ya KID Boy Sandu George Kukamatwa na mke wa mwanasiasa maarufu Mombasa Kenya
Gazeti moja la The Star la nchini kenya Limesema wawili hao walikua na uhusiano wa muda mrefu kupelekea kuweka mipango ya kununua nyumba ya kuishi pamoja , mheshimiwa huyo mkenya ni mtu wa safari hivyo basi kumpa mke wake upenyo wa kufanya Uzinzi huo na Mnyiramba huyo kutoka tanzania,
Habari zingine zinasema msanii huyo kapata kipigo cha Mbwa mwizi na Kupewa masaa 24 kutoka nchini Kenya.
Gazeti moja la The Star la nchini kenya Limesema wawili hao walikua na uhusiano wa muda mrefu kupelekea kuweka mipango ya kununua nyumba ya kuishi pamoja , mheshimiwa huyo mkenya ni mtu wa safari hivyo basi kumpa mke wake upenyo wa kufanya Uzinzi huo na Mnyiramba huyo kutoka tanzania,
Habari zingine zinasema msanii huyo kapata kipigo cha Mbwa mwizi na Kupewa masaa 24 kutoka nchini Kenya.

Post a Comment