Gari La Msanii DUDE (kulwa Kikumbo Lashikiliwa kwa Ujambazi

Gari hilo la msanii Dude kama unavyoliona
Limeusishwa na ujambaji wa bajaji jijini Dar, Maeneo ya kijitonyanma July 21 mwaka huu, kwa mujibu wa chanzo wewe tajiri yangu ni kwamba baada ya vijana wawili kukutwa katika hiyo Gari  ambao ni Seif Jafari na Longina Ramadhani waliotaka kuipora bajaji ya bwana  suleiman khalfani ,
Muda mchache baada ya gari hilo kukamatwa Dude alifika polisi ili kutambua Gari lile, na Baada ya kulitambua Maelezo yake hayakujitosheleza  na ndipo polisi wakaendelea  kumshikiria mpaka kesho yake alipotoka kwa dhamana 

No comments